Surah Assaaffat aya 51 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ قَائِلٌ مِّنْهُمْ إِنِّي كَانَ لِي قَرِينٌ﴾
[ الصافات: 51]
Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
A speaker among them will say, "Indeed, I had a companion [on earth]
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki.
Hapo mmoja wao atasema: Mimi nalikuwa na rafiki katika washirikina, akijadiliana nami katika mambo ya Dini na yaliyo kuja katika Qurani.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi
- Msifanye wito wa Mtume baina yenu kama wito wa nyinyi kwa nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu
- Kwa Haki ya Qur'ani yenye hikima!
- Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.
- Na ukipata faragha, fanya juhudi.
- Na walio zikanusha Ishara zetu na mkutano wa Akhera a'mali zao zimeharibika. Kwani watalipwa ila
- Naapa kwa usiku unapo funika!
- Ameteremsha maji kutoka mbinguni. Na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake. Na mafuriko yakachukua mapovu
- Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!
- Arrahmani, Mwingi wa Rehema, aliye tawala juu ya Kiti cha Enzi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers