Surah Ad Dukhaan aya 54 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَذَٰلِكَ وَزَوَّجْنَاهُم بِحُورٍ عِينٍ﴾
[ الدخان: 54]
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
Surah Ad-Dukhaan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Thus. And We will marry them to fair women with large, [beautiful] eyes.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
Na pamoja na malipo haya tutawaoza huko Peponi mahurulaini, ambao huwezi kuwachanganyia jicho kwa hadi ya uzuri wao na ukubwa wa macho yao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji na
- Sema: Je! Mnawaabudu, badala ya Mwenyezi Mungu, wale ambao hawawezi kukudhuruni wala kukufaeni? Na Mwenyezi
- Basi je! Unamwona mmoja wao aliye baki?
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe
- Wapate kufahamu maneno yangu.
- Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
- Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
- Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
- Bali hii leo, watasalimu amri.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers