Surah Ad Dukhaan aya 54 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَذَٰلِكَ وَزَوَّجْنَاهُم بِحُورٍ عِينٍ﴾
[ الدخان: 54]
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
Surah Ad-Dukhaan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Thus. And We will marry them to fair women with large, [beautiful] eyes.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
Na pamoja na malipo haya tutawaoza huko Peponi mahurulaini, ambao huwezi kuwachanganyia jicho kwa hadi ya uzuri wao na ukubwa wa macho yao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
- Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?
- Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
- Basi waache mpaka wakutane na siku yao watakapo hilikishwa.
- Sema: Je, tumuombe asiye kuwa Mwenyezi Mungu ambae hatufai wala hatudhuru, na turejee nyuma baada
- Mwenye kutua, akatulia,
- Ewe Nabii! Mtakapo wapa talaka wanawake, basi wapeni talaka katika wakati wa eda zao. Na
- Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu.
- Au hatawashika katika nyendo zao, na wala hawataponyoka?
- Ati aliye lelewa katika mapambo, na katika mabishano hawezi kusema kwa bayana...?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers