Surah Waqiah aya 60 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿نَحْنُ قَدَّرْنَا بَيْنَكُمُ الْمَوْتَ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ﴾
[ الواقعة: 60]
Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We have decreed death among you, and We are not to be outdone
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi
Sisi tumekuhukumieni mauti, na tumeweka wakati makhsuri wa kufa kwenu. Na wala Sisi si wenye kushindwa kukubadilisheni sura zenu,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Atasema: Je! Nyie mnawaona?
- Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu,
- Au baba zetu wa zamani?
- Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa,
- Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho
- Sema: Nendeni katika ardhi, na tazameni ulikuwaje mwisho wa wakosefu.
- Shikamana na kusamehe, na amrisha mema, na jitenge na majaahili.
- Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.
- Kisha alirudi nyuma, akaingia kufanya juhudi.
- Kisha ndio atalipwa malipo yake kwa ukamilifu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



