Surah Waqiah aya 61 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ أَمْثَالَكُمْ وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ﴾
[ الواقعة: 61]
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
In that We will change your likenesses and produce you in that [form] which you do not know.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
Na wala Sisi si wenye kushindwa kukubadilisheni sura zenu, na kuzileta nyengine, na tukakuumbeni katika umbo jengine na sura nyengine msiyo ijua.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
- Na haiwi kwa wana-mji tulio uangamiza, ya kwamba hawatarejea,
- Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao, na
- Akasema: Nipeni waja wa Mwenyezi Mungu; kwa hakika mimi kwenu ni Mtume Muaminifu.
- Akakukuta mhitaji akakutosheleza?
- Ut'iifu na kauli njema. Na jambo likisha azimiwa, basi wakiwa ni wakweli kwa Mwenyezi Mungu,
- Au wewe unawaomba ujira, na kwa hivyo ndio wanaelemewa na uzito wa gharama?
- (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
- Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu wananunua upotovu na wanakutakeni nanyi mpotee njia?
- Lazima mtapanda t'abaka kwa t'abaka!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers