Surah Nahl aya 74 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nahl aya 74 in arabic text(The Bee).
  
   

﴿فَلَا تَضْرِبُوا لِلَّهِ الْأَمْثَالَ ۚ إِنَّ اللَّهَ يَعْلَمُ وَأَنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ
[ النحل: 74]

Basi msimpigie Mwenyezi Mungu mifano. Hakika Mwenyezi Mungu anajua, na nyinyi hamjui.

Surah An-Nahl in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So do not assert similarities to Allah. Indeed, Allah knows and you do not know.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi msimpigie Mwenyezi Mungu mifano. Hakika Mwenyezi Mungu anajua,na nyinyi hamjui.


Na ilivyo kuthibitikieni kuwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu hakufaeni kitu, basi msiseme kwamba Mwenyezi Mungu Mtukufu ana yeyote wa kumshabihi, ikawa kisingizio cha kuwaabudu hao kwa vipimo vipotovu, na kushabihisha kusio kweli kwa ajili ya kuwaabudu hao pamoja naye! Hakika Mwenyezi Mungu anajua upotovu wa mnayo yatenda, naye atakulipeni kwayo na hali nyinyi mmo katika mghafala hamjui ubaya wa mwisho wenu!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 74 from Nahl


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wale miongoni mwenu wanao kufa na wakawacha wake, na wausie kwa ajili ya wake
  2. Na watasema wale walio fuata: Laiti tungeweza kurudi tukawakataa wao kama wanavyo tukataa sisi! Hivi
  3. Na wanasema: Subhana Rabbina, Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika ahadi ya Mola wetu Mlezi lazima
  4. MWENYEZI MUNGU amekwisha sikia usemi wa mwanamke anaye jadiliana nawe juu ya mumewe, na anamshitakia
  5. Na Nuhu alimwomba Mola wake Mlezi: Ee Mola Mlezi wangu! Hakika mwanangu ni katika ahali
  6. Na wale wanao jiepusha na ibada potovu, na wakarejea kwa Mwenyezi Mungu, watapata bishara njema.
  7. Na (mtu kama huyo) anapo somewa Aya zetu huzipa mgongo kwa kujivuna, kama kwamba hakuzisikia,
  8. Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake
  9. Tazama jinsi wanavyo kupigia mifano. Basi wamepotea, wala hawataiweza Njia.
  10. Hakika sisi zamani tulikuwa tukimwomba Yeye tu. Hakika Yeye ndiye Mwema Mwenye kurehemu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Surah Nahl Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nahl Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nahl Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nahl Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nahl Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nahl Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nahl Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Nahl Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nahl Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nahl Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nahl Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nahl Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nahl Al Hosary
Al Hosary
Surah Nahl Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nahl Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, August 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers