Surah Shams aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَلْهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقْوَاهَا﴾
[ الشمس: 8]
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
Surah Ash-Shams in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And inspired it [with discernment of] its wickedness and its righteousness,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake!
Akaifunza jema na baya, na akaipa uweza wa kutenda itakayo katika hayo,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na haiwi kwa wana-mji tulio uangamiza, ya kwamba hawatarejea,
- Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.
- Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke!
- Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
- Wakasema: Bila shaka umekwisha jua hatuna haki juu ya binti zako, na unayajua tunayo yataka.
- Mfano wa Bustani waliyo ahidiwa wachamngu, kati yake inapita mito, matunda yake ni ya daima,
- Na nini kitacho kujuulisha nini Laylatul Qadri?
- Akasema: Hakika wewe hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami.
- Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na
- Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shams with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shams mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shams Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



