Surah Assaaffat aya 86 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَئِفْكًا آلِهَةً دُونَ اللَّهِ تُرِيدُونَ﴾
[ الصافات: 86]
Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Is it falsehood [as] gods other than Allah you desire?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
Si mnazua uwongo tu ulio wazi kwa haya myatendayo, kwa kuwa mnamuabudu asiye kuwa Mwenyezi Mungu? Na si mnataka kuzua uzushi huu bila ya udhuru wowote ila kupenda kwenu tu?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nami nitawapa muda. Hakika mpango wangu ni madhubuti.
- Na katika kaumu ya Musa lipo kundi linao waongoa watu kwa haki na kwa haki
- Je! Sikuagana nanyi, enyi wanaadamu, kuwa msimuabudu Shet'ani? Hakika yeye ni adui dhaahiri kwenu.
- Huko ndiko kupaka rangi kwa Mwenyezi Mungu, na nani aliye mbora wa kupaka rangi kuliko
- Na wawili katika ngamia, na wawili katika ng'ombe. Sema: Je, ameharimisha yote madume wawili au
- Na tazama, na wao wataona.
- Kisha miminikeni kutoka pale wanapo miminika watu, na muombeni Mwenyezi Mungu msamaha: hakika Mwenyezi Mungu
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Na kwa hakika hii ndiyo Njia yangu Iliyo Nyooka. Basi ifuateni, wala msifuate njia nyingine,
- Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers