Surah Shuara aya 87 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ﴾
[ الشعراء: 87]
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And do not disgrace me on the Day they are [all] resurrected -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
Wala usinitie aibu au hizaya mbele ya watu, Siku watapo tolewa makaburini kwa ajili ya hisabu na malipo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
- Sema: Mwaonaje ikikufikieni hiyo adhabu yake usiku au mchana, sehemu gani ya adhabu wanaihimiza wakosefu?
- Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!
- Watasema: (Ufalme huo) ni wa Mwenyezi Mungu. Sema: Basi vipi mnadanganyika?
- Hao ndio watakao karibishwa
- Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
- Hawamtangulii kwa neno, nao wanafanya amri zake.
- Basi maneno gani baada ya haya watayaamini?
- Wala nasaha yangu haikufaini kitu nikitaka kukunasihini, ikiwa Mwenyezi Mungu anataka kukuachieni mpotee. Yeye ndiye
- Je! Aliye yafuata ya kumridhisha Mwenyezi Mungi ni kama yule aliye stahiki ghadhabu ya Mwenyezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



