Surah Al Isra aya 109 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيَخِرُّونَ لِلْأَذْقَانِ يَبْكُونَ وَيَزِيدُهُمْ خُشُوعًا ۩﴾
[ الإسراء: 109]
Na huanguka kifudifudi na huku wanalia, na inawazidisha unyenyekevu.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they fall upon their faces weeping, and the Qur'an increases them in humble submission.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na huanguka kifudifudi na huku wanalia, na inawazidisha unyenyekevu.
Na huangukia tena kwenye nyuso zao mara ya pili wakilia kwa kumkhofu Mwenyezi Mungu, na Qurani inawazidisha unyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala,
- Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.
- Basi wakazozana kwa shauri yao wenyewe kwa wenyewe, na wakanong'ona kwa siri.
- Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
- Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?
- Na amani iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa, na siku ya
- Na waulize khabari za mji ulio kuwa kando ya bahari, wakiivunja Sabato (Jumaamosi ya mapumziko).
- Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
- Ama mwenye kutubu na akaamini na akatenda mema, huyo atakuwa miongoni mwa wenye kufanikiwa.
- Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



