Surah Nuh aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَعَلَ الْقَمَرَ فِيهِنَّ نُورًا وَجَعَلَ الشَّمْسَ سِرَاجًا﴾
[ نوح: 16]
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
Surah Nuh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And made the moon therein a [reflected] light and made the sun a burning lamp?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
Na akaufanya mwezi katika mbingu hizo unatoa nuru, na akalifanya jua ni taa ambayo kwayo watu wa duniani ndio wanaona kwa mwangaza wake yote wanayo hitajia kuyaona?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nao wamefuatishiwa laana hapa duniani na Siku ya Kiyama. Ni mabaya yalioje watakayo pewa!
- Ut'iifu na kauli njema. Na jambo likisha azimiwa, basi wakiwa ni wakweli kwa Mwenyezi Mungu,
- Na wao husema: Mbona hakuteremshiwa Malaika? Na kama tungeli teremsha Malaika, basi bila ya shaka
- Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji vya kuleta maneno ya upuuzi wala dhambi.
- Na wakisema: Hata ukituletea Ishara yoyote kutuzuga hatuto kuamini.
- Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
- Umwambie: Je! Unapenda kujitakasa?
- Mkidhihirisha chochote kile, au mkikificha, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu.
- Na ishara ngapi katika mbingu na ardhi wanazo zipitia, na hali ya kuwa wanazipuuza.
- Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers