Surah Nuh aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَعَلَ الْقَمَرَ فِيهِنَّ نُورًا وَجَعَلَ الشَّمْسَ سِرَاجًا﴾
[ نوح: 16]
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
Surah Nuh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And made the moon therein a [reflected] light and made the sun a burning lamp?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
Na akaufanya mwezi katika mbingu hizo unatoa nuru, na akalifanya jua ni taa ambayo kwayo watu wa duniani ndio wanaona kwa mwangaza wake yote wanayo hitajia kuyaona?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lau kuwa hawa ni miungu, wasingeli ingia. Na wote watadumu humo.
- Na hakika walikanushwa Mitume wa kabla yako. Nao wakavumilia kule kukanushwa, na kuudhiwa, mpaka ilipo
- Na sema: Mola wangu Mlezi! Niingize muingizo mwema, na unitoe kutoka kwema. Na unipe nguvu
- Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
- Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- H'a Mim
- Na wengine wafungwao kwa minyororo.
- Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
- Yeye ndiye aliye kuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi. Tena akazielekea mbingu, na akazifanya mbingu saba.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers