Surah Nuh aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَعَلَ الْقَمَرَ فِيهِنَّ نُورًا وَجَعَلَ الشَّمْسَ سِرَاجًا﴾
[ نوح: 16]
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
Surah Nuh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And made the moon therein a [reflected] light and made the sun a burning lamp?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
Na akaufanya mwezi katika mbingu hizo unatoa nuru, na akalifanya jua ni taa ambayo kwayo watu wa duniani ndio wanaona kwa mwangaza wake yote wanayo hitajia kuyaona?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na
- Ambaye nyuma yake ipo Jahannamu, na atanywishwa maji ya usaha.
- Au wanasema: Ana wazimu? Bali amewajia kwa Haki, na wengi wao wanaichukia Haki.
- Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
- Watu ambao biashara wala kuuza hakuwashughulishi na kumdhukuru Mwenyezi Mungu, na kushika Sala, na kutoa
- Na litapo pulizwa barugumu mpulizo mmoja tu,
- Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.
- Juu ya Njia Iliyo Nyooka.
- Wao wana bishara njema katika maisha ya dunia na katika Akhera. Hapana mabadiliko katika maneno
- Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



