Surah Nuh aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَعَلَ الْقَمَرَ فِيهِنَّ نُورًا وَجَعَلَ الشَّمْسَ سِرَاجًا﴾
[ نوح: 16]
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
Surah Nuh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And made the moon therein a [reflected] light and made the sun a burning lamp?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
Na akaufanya mwezi katika mbingu hizo unatoa nuru, na akalifanya jua ni taa ambayo kwayo watu wa duniani ndio wanaona kwa mwangaza wake yote wanayo hitajia kuyaona?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wanasema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na Mtume, na tumet'ii. Kisha kikundi katika hao hugeuka baada
- Na akalifanya hili liwe neno lenye kubaki katika vizazi vyake ili warejee.
- Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.
- Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.
- Je! Hawajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anapokea toba ya waja wake, na anazikubali sadaka, na
- Na ni vya Mwenyezi Mungu tu vyote vilivyo fichikana katika ardhi na mbingu, na mambo
- Na lau kuwa hatukukuweka imara ungeli karibia kuwaelekea kidogo.
- Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Wala wao
- Ili mkae vizuri migongoni mwao, kisha mkumbuke neema za Mola wenu Mlezi mnapokaa sawa sawa
- Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers