Surah Sharh aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَوَضَعْنَا عَنكَ وِزْرَكَ﴾
[ الشرح: 2]
Na tukakuondolea mzigo wako,
Surah Ash-Sharh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We removed from you your burden
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukakuondolea mzigo wako!
Na tumekupunguzia mizigo iliyo kuwa mizito juu ya mgongo wako, kwa kukuunga mkono na kukusahilishia mambo yako,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Mwenyezi Mungu huwazidishia uwongofu wenye kushika uwongofu. Na mema yenye kudumu ni bora katika
- Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!
- Wanangojea jengine hawa ila Malaika wawafikie, au iwafikie amri ya Mola wako Mlezi? Kama hivyo
- Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
- Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
- Wakasema: Malipo yake ni yule ambaye ataonekana nalo yeye huyo ndiye malipo yake. Hivi ndivyo
- Au wanayo sehemu ya utawala? Basi hapo wasingewapa watu hata tundu ya kokwa ya tende.
- Kwa hakika hayo ni ukelele mmoja tu,
- Hakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya kama walio fyekwa, wamezimika.
- Haubakishi wala hausazi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sharh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sharh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sharh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers