Surah Qalam aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَغَدَوْا عَلَىٰ حَرْدٍ قَادِرِينَ﴾
[ القلم: 25]
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they went early in determination, [assuming themselves] able.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
Wakenda hapo asubuhi mpaka kwenye shamba lao, na azma yao ovu hiyo, na wao ni wenye uwezo kaamili wa kutenda hayo kwa kujigamba kwao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu amemlaani. Naye Shet'ani alisema: Kwa yakini nitawachukua sehemu maalumu katika waja wako.
- Hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wenye kumcha, na watendao mema.
- Akasema: Laiti ningeli kuwa na nguvu kwenu, au nategemea kwenye nguzo yenye nguvu!
- Sawa sawa kwao, ukiwatakia maghfira au hukuwatakia maghfira, Mwenyezi Mungu hatawaghufiria. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi
- Na Yeye ndiye Mungu mbinguni, na ndiye Mungu katika ardhi. Naye ndiye Mwenye hikima, Mwenye
- Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!
- Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
- Ambaye amekufanyieni ardhi kuwa tandiko, na akakupitishieni humo njia, na akakuteremshieni kutoka mbinguni maji. Na
- Asaa Mwenyezi Mungu akatia mapenzi baina yenu na hao maadui zenu, na Mwenyezi Mungu ni
- Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers