Surah Qalam aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
 ﴿وَغَدَوْا عَلَىٰ حَرْدٍ قَادِرِينَ﴾ 
[ القلم: 25]
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they went early in determination, [assuming themselves] able.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
Wakenda hapo asubuhi mpaka kwenye shamba lao, na azma yao ovu hiyo, na wao ni wenye uwezo kaamili wa kutenda hayo kwa kujigamba kwao.
| English | Türkçe | Indonesia | 
| Русский | Français | فارسی | 
| تفسير | Bengali | Urdu | 
Ayats from Quran in Swahili
- Hizi ni katika khabari za miji, tunakusimulia. Mingine ipo bado na mingine imefyekwa.
- Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
- Na nguo zako, zisafishe.
- Na tukawaingiza katika rehema yetu. Hakika wao walikuwa katika watu wema.
- Na hii ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao
- Wakasema: Apishaneni kwa Mwenyezi Mungu tutamshambulia usiku yeye na ahali zake; kisha tutamwambia mrithi wake:
- Na walio kanusha Ishara zetu itawagusa adhabu kwa walivyo kuwa wakipotoka.
- Juu yake wapo kumi na tisa.
- Hakika hao wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawana akili.
- Katika Nyumba ambazo Mwenyezi Mungu ameamrisha zitukuzwe, na humo litajwe jina lake, wanamtakasa humo asubuhi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
 Ahmed Al Ajmy
Ahmed Al Ajmy
 Bandar Balila
Bandar Balila
 Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
 Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
 Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
 Abdul Basit
Abdul Basit 
 Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
 Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
 Abdullah Al Juhani
Abdullah Al Juhani
 Fares Abbad
Fares Abbad
 Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
 Al Minshawi
Al Minshawi
 Al Hosary
Al Hosary
 Mishari Al-afasi
Mishari Al-afasi
 Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



