Surah Qalam aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَغَدَوْا عَلَىٰ حَرْدٍ قَادِرِينَ﴾
[ القلم: 25]
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they went early in determination, [assuming themselves] able.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
Wakenda hapo asubuhi mpaka kwenye shamba lao, na azma yao ovu hiyo, na wao ni wenye uwezo kaamili wa kutenda hayo kwa kujigamba kwao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Iwe salama kwa Ibrahim!
- Sema: Je! Mnawaabudu, badala ya Mwenyezi Mungu, wale ambao hawawezi kukudhuruni wala kukufaeni? Na Mwenyezi
- Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa.
- Wewe ndio unamshughulikia?
- Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
- Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati iwape nguvu.
- Na akasema: Enyi wanangu! Msiingie mlango mmoja, bali ingieni kwa milango mbali mbali. Wala mimi
- Hakika wachamngu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola wao Mlezi.
- Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani bila ya shaka Mwenyezi
- Ewe Nabii! Waambie wake zako: Ikiwa mnataka maisha ya dunia na pambo lake, basi njooni,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



