Surah Naziat aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَخَذَهُ اللَّهُ نَكَالَ الْآخِرَةِ وَالْأُولَىٰ﴾
[ النازعات: 25]
Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
Surah An-Naziat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So Allah seized him in exemplary punishment for the last and the first [transgression].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
Mwenyezi Mungu akampa adhabu kwa kauli yake ya mwisho, nayo ni vile kusema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi aliye mkubwa kabisa. Na akampa adhabu kwa kauli yake ya mwanzo, nayo ni kumkadhibisha Musa a.s.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Musa ilipo mtulia ghadhabu aliziokota zile mbao. Na katika maandiko yake mna uwongofu na
- Na walipo juta na wakaona ya kwamba wamekwisha potea, walisema: Ikiwa Mola wetu Mlezi hakuturehemu
- Basi waache katika ghafla yao kwa muda.
- Na hakika tulimwonyesha ishara zetu zote. Lakini alikadhibisha na akakataa.
- Na wale walio chuma maovu, malipo ya uovu ni mfano wake vile vile, na yatawafika
- Kisha hakika Mola wako Mlezi, kwa wale walio hama makwao baada ya kuteswa, kisha wakapigania
- Na amani iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa, na siku ya
- Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?
- Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na ni Mola Mlezi wa
- Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naziat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naziat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naziat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers