Surah Assaaffat aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا بَل لَّمْ تَكُونُوا مُؤْمِنِينَ﴾
[ الصافات: 29]
Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The oppressors will say, "Rather, you [yourselves] were not believers,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.
Watasema walio jipa ukubwa: Sisi hatukukugeuzeni njia, lakini nyinyi wenyewe mliikataa Imani, na mkaipuuza kwa khiari yenu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Je nitafute Mola Mlezi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ndiye Mola Mlezi
- Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
- Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
- Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
- Na wajizuilie na machafu wale wasio pata cha kuolea, mpaka Mwenyezi Mungu awatajirishe kwa fadhila
- Na kwa yakini wao wanafika kwenye nchi ilio teremshiwa mvua mbaya. Basi, je, hawakuwa wakiiona?
- Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
- Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na
- Enyi mlio amini! Mnapo nong'ona msinong'one kwa sababu ya mambo ya madhambi, na uadui, na
- Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



