Surah Assaaffat aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا بَل لَّمْ تَكُونُوا مُؤْمِنِينَ﴾
[ الصافات: 29]
Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The oppressors will say, "Rather, you [yourselves] were not believers,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.
Watasema walio jipa ukubwa: Sisi hatukukugeuzeni njia, lakini nyinyi wenyewe mliikataa Imani, na mkaipuuza kwa khiari yenu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naye atakuja ridhika!
- Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa katika Kitabu kabla hatujauumba.
- Isipo kuwa iwe rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika fadhila yake kwako ni kubwa.
- Ole wako, ole wako!
- Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?
- Na akawapandisha wazazi wake kwenye kiti cha enzi. Na wote wakaporomoka kumsujudia. Na akasema: Ewe
- Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
- Na ardhi itakapo tanuliwa,
- Humuingiza amtakaye katika rehema yake. Na wenye kudhulumu amewawekea adhabu iliyo chungu.
- Mwenyezi Mungu hatakushikeni kwa viapo vyenu vya upuuzi, lakini atakushikeni kwa mnavyo apa kweli kweli
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers