Surah Qiyamah aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَا صَدَّقَ وَلَا صَلَّىٰ﴾
[ القيامة: 31]
Kwa sababu hakusadiki, wala hakusali.
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the disbeliever had not believed, nor had he prayed.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa sababu hakusadiki, wala hakuswali.
Binaadamu amekanya kufufuliwa, na kwa hivyo hakumsadiki Mtume wala Qurani. Wala hakumtimizia Mwenyezi Mungu faridha za Swala.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nao wamefuatishiwa laana hapa duniani na Siku ya Kiyama. Ni mabaya yalioje watakayo pewa!
- Na walio amini wakahama na wakapigana Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na walio toa
- Au kumlisha siku ya njaa
- Na kwa hakika yeye ni alama ya Saa ya Kiyama. Basi usiitilie shaka, na nifuateni.
- Hata watakapo yaona wanayo ahidiwa, ndipo watakapo jua ni nani mwenye msaidizi dhaifu, na mchache
- Naapa kwa wanao komoa kwa nguvu,
- Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia.
- Mwenyezi Mungu akasema: Hakika Mimi nitakuteremshieni hicho. Lakini yeyote katika nyinyi atakaye kanya baadae, basi
- Wala msiwe kama wale walio msahau Mwenyezi Mungu, na Yeye akawasahaulisha nafsi zao. Hao ndio
- Katika sura yoyote aliyo ipenda akakujenga.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers