Surah Qiyamah aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَا صَدَّقَ وَلَا صَلَّىٰ﴾
[ القيامة: 31]
Kwa sababu hakusadiki, wala hakusali.
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the disbeliever had not believed, nor had he prayed.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa sababu hakusadiki, wala hakuswali.
Binaadamu amekanya kufufuliwa, na kwa hivyo hakumsadiki Mtume wala Qurani. Wala hakumtimizia Mwenyezi Mungu faridha za Swala.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika Mja wa Mwenyezi Mungu alipo simama kumwomba, wao walikuwa karibu kumzonga!
- Na kwa yakini tumeisarifu kati yao wapate kukumbuka. Lakini watu wengi wanakataa ila kukufuru.
- Na katika Ishara zake ni vyombo vinavyo kwenda na kurejea baharini kama vilima.
- Na Thamudi hakuwabakisha,
- Na kwa nini msile katika walio somewa jina la Mwenyezi Mungu, naye amekwisha kubainishieni alivyo
- Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.
- Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
- Bali alikanusha, na akageuka.
- Haya ndiyo mnayo ahidiwa kwa kila mwenye kurejea kwa Mwenyezi Mungu na akajilinda.
- Basi ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers