Surah Al Qamar aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ جَاءَهُم مِّنَ الْأَنبَاءِ مَا فِيهِ مُزْدَجَرٌ﴾
[ القمر: 4]
Na bila ya shaka zimewajia khabari zenye makaripio.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And there has already come to them of information that in which there is deterrence -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka zimewajia khabari zenye makaripio.
Na ninaapa kuwa zimewajia makafiri khabari za mataifa yaliyo tangulia zenye ukweli wa uumbaji ambazo zina mikemeo ya kutosha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Huyo ndiye Mwenyezi Mungu Mola wenu Mlezi, Muumba wa kila kitu. Hapana mungu ila Yeye;
- Na kitupe kilicho katika mkono wako wa kulia; kitavimeza walivyo viunda. Hakika walivyo unda ni
- Ndio hivyo iwe! Na anaye vitukuza vitakatifu vya Mwenyezi Mungu basi hayo ndiyo kheri yake
- Kisha tukawaangamiza wale wengineo.
- Wewe si mwenye kuwatawalia.
- Enyi mlio amini! Muitikieni Mwenyezi Mungu na Mtume anapo kuitieni jambo la kukupeni uzima wa
- Hakika wawili hao ni katika waja wetu walio amini.
- Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji vya kuleta maneno ya upuuzi wala dhambi.
- Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
- Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



