Surah Shuara aya 54 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَشِرْذِمَةٌ قَلِيلُونَ﴾
[ الشعراء: 54]
(Wakieneza): Hakika hawa ni kikundi kidogo.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[And said], "Indeed, those are but a small band,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
(Wakieneza): Hakika hawa ni kikundi kidogo.
Firauni akasema: Hakika hawa Wana wa Israili walio kimbia na Musa ni taifa dogo kwa nguvu zao. Idadi yao ni chache. Anasema hayo kutia mori katika nyoyo za askari wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
- Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea.
- Na sikutakini juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu
- Akasema: Enyi wahishimiwa! Nipeni shauri katika jambo langu hili, kwani mimi sikati shauri yoyote mpaka
- Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
- Na litapulizwa baragumu. Hiyo ndiyo Siku ya Miadi.
- Yule ambaye Mwenyezi Mungu amemhidi basi huyo amehidika; na alio waacha kupotea basi hao ndio
- Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).
- Haki inatoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka.
- Basi je! Unamwona mmoja wao aliye baki?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers