Surah Al Imran aya 82 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَن تَوَلَّىٰ بَعْدَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ﴾
[ آل عمران: 82]
Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.
Surah Al Imran in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And whoever turned away after that - they were the defiantly disobedient.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.
Anaye kataa kumuamini Nabii huyu baada ya ahadi hii madhubuti ni mpotovu aliye toka kwenye sharia ya Mwenyezi Mungu, ni kafiri mwenye kuwakataa Manabii wote wa mwanzo mpaka wa mwisho.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!
- Na enyi watu wangu! Hakika mimi nakukhofieni Siku ya mayowe.
- Ili nitende mema sasa badala ya yale niliyo yaacha. Wapi! Hii ni kauli aisemayo yeye
- Na wao wakamgeuzia uso, na wakasema: Huyu amefunzwa, naye ni mwendawazimu.
- Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
- Walio hai na maiti?
- Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
- Literemshalo linyanyualo,
- Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.
- Na kila umma tumewafanyia mahala pa kuchinjia mihanga ya ibada ili walitaje jina la Mwenyezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers