Surah Al Qamar aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِن يَرَوْا آيَةً يُعْرِضُوا وَيَقُولُوا سِحْرٌ مُّسْتَمِرٌّ﴾
[ القمر: 2]
Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And if they see a miracle, they turn away and say, "Passing magic."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.
Na makafiri wakiona Ishara, yaani muujiza mkubwa, wao hupuuza wakaacha kuuamini. Bali husema: Huu ni uchawi wa daima unaendelea!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naye ndiye anaye kufisheni usiku, na anakijua mlicho fanya mchana. Kisha Yeye hukufufueni humo mchana
- Hawa watu wetu wameshika miungu mingine badala yake Yeye. Kwa nini basi hawawatolei uthibitisho ulio
- Na atendaye mema naye ni Muumini basi haitakataliwa juhudi yake. Na hakika Sisi tunamwandikia.
- Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni
- Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
- Na ya kwamba hatapata mtu ila aliyo yafanya mwenyewe?
- Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
- Hapana shaka ya kwamba hao ndio wenye kukhasiri Akhera.
- Na unge ona watakapo simamishwa kwenye Moto, wakawa wanasema: Laiti tungeli rudishwa, wala hatutakanusha tena
- Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers