Surah Saff aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لِمَ تَقُولُونَ مَا لَا تَفْعَلُونَ﴾
[ الصف: 2]
Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?
Surah As-Saff in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
O you who have believed, why do you say what you do not do?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?
Enyi mlio amini! Kwa ajili ya nini mnasema kwa ndimi zenu yasiyo hakikishwa na vitendo vyenu?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.
- Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
- Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
- Na Sisi hakika tuliwapelekea waonyaji.
- Na walio kanusha Ishara zetu itawagusa adhabu kwa walivyo kuwa wakipotoka.
- Kisha akamfisha, akamtia kaburini.
- Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
- Na litapo pulizwa barugumu mpulizo mmoja tu,
- Wanapo pokea wapokeaji wawili, wanao kaa kuliani na kushotoni.
- Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma kwenye adhabu ngumu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Saff with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Saff mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saff Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers