Surah Qiyamah aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَلَمْ يَكُ نُطْفَةً مِّن مَّنِيٍّ يُمْنَىٰ﴾
[ القيامة: 37]
Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Had he not been a sperm from semen emitted?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
Kwani yeye mtu hakuwa ni tone tu ya manii, ilio jaaliwa kuwemo katika tumbo la uzazi?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu anakuonyeni msirejee tena kufanya kama haya kabisa, ikiwa nyinyi ni Waumini!
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
- Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
- Sema: Mwaonaje ikikufikieni hiyo adhabu yake usiku au mchana, sehemu gani ya adhabu wanaihimiza wakosefu?
- Na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
- Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa?
- Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?
- Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
- Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima.
- Na mwitaji kumwendea Mwenyezi Mungu kwa idhini yake, na taa yenye kutoa nuru.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



