Surah Rahman aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَطُوفُونَ بَيْنَهَا وَبَيْنَ حَمِيمٍ آنٍ﴾
[ الرحمن: 44]
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
Surah Ar-Rahman in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will go around between it and scalding water, heated [to the utmost degree].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hizi ni Aya za Mwenyezi Mungu tunakusomea kwa haki. Na Mwenyezi Mungu hataki kuwadhulumu walimwengu.
- Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
- Kwa hakika alikuwa karibu kutupoteza tuiache miungu yetu, ingeli kuwa hatukushikamana nayo kwa kuvumilia. Bado
- Hakika ilikuwapo Ishara kwa (watu wa nchi ya) Sabaa katika maskani yao - bustani mbili,
- Basi akiwa miongoni mwa walio karibishwa,
- Na walisema: Hakuna mengine ila maisha yetu haya ya duniani, wala sisi hatutafufuliwa.
- Wakaja na kanzu yake ina damu ya uwongo. Akasema: Bali nafsi zenu zimekushawishini kutenda kitendo.
- Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.
- Na pimeni kwa haki iliyo nyooka;
- Basi Firauni akawatuma mijini wapiga mbiu za mgambo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Rahman with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Rahman mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Rahman Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



