Surah Al-Haqqah aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّا لَمَّا طَغَى الْمَاءُ حَمَلْنَاكُمْ فِي الْجَارِيَةِ﴾
[ الحاقة: 11]
Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katika safina,
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, when the water overflowed, We carried your ancestors in the sailing ship
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katika safina,
Maji yalipo zidi ukomo wake, na yakapanda juu ya milima katika tukio la tofani ya Nuhu, Sisi tulikupandisheni, yaani kwa kuwapandisha wazee wenu wa asli, katika safina inayo kwenda baharini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na waonye siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao wamejaa huzuni. Madhaalimu hawatakuwa
- Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
- AMETUKUKA ambaye mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila
- Na hakika juu yako ipo laana mpaka Siku ya Malipo.
- Kwa hakika wewe utakufa, na wao watakufa.
- Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
- Na hakuna chochote ila asili yake inatokana na Sisi; wala hatukiteremshi ila kwa kipimo maalumu.
- Hakika amri yake anapo taka kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Na kikawa.
- Wakasema: Je! Wewe umeifanyia haya miungu yetu, ewe Ibrahim?
- Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



