Surah shura aya 46 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah shura aya 46 in arabic text(The Consultation).
  
   

﴿وَمَا كَانَ لَهُم مِّنْ أَوْلِيَاءَ يَنصُرُونَهُم مِّن دُونِ اللَّهِ ۗ وَمَن يُضْلِلِ اللَّهُ فَمَا لَهُ مِن سَبِيلٍ
[ الشورى: 46]

Wala hawatakuwa na walinzi wa kuwanusuru mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha kupotea, hana njia yoyote.

Surah Ash_shuraa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And there will not be for them any allies to aid them other than Allah. And whoever Allah sends astray - for him there is no way.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wala hawatakuwa na walinzi wa kuwanusuru mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha kupotea, hana njia yoyote.


Na wala hawatakuwa wa kuwanusuru kutokana na ile miungu ya uwongo walio kuwa wakiiabudu badala ya Mwenyezi Mungu, na walio kuwa wakiitii katika kumuasi Mwenyezi Mungu, waje kuwaokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kupotea Njia ya Haki kwa kuto kuwa na ujuzi, basi hatokuwa na njia ya kumwokoa na mwisho muovu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 46 from shura


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wakasema watukufu wa wale walio kufuru katika kaumu yake: Sisi tunakuona umo katika upumbavu, na
  2. Na utawaona wanapelekwa kwenye Moto, nao wamenyenyekea kwa unyonge, wanatazama kwa mtazamo wa kificho. Na
  3. Bila ya shaka wanao fungamana nawe, kwa hakika wanafungamana na Mwenyezi Mungu. Mkono wa Mwenyezi
  4. Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
  5. Tangu zamani walitaka kukutilieni fitna, na wakakupindulia mambo juu chini, mpaka ikaja Haki na ikadhihirika
  6. Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni shahidi baina yetu na nyinyi. Hakika sisi tulikuwa hatuna khabari
  7. Ni nyinyi mlio uumba mti wake au Sisi ndio Waumbaji?
  8. Kiovu kweli walicho jiuzia nafsi zao, nacho ni kule kukataa kwao aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu,
  9. Na lau tungeli ifanya Qur'ani kwa lugha ya kigeni wangeli sema: Kwanini Aya zake haziku
  10. La! Naapa kwa Mola wako Mlezi! Hawataamini mpaka wakufanye wewe ndiye muamuzi katika yale wanayo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah shura with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah shura mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter shura Complete with high quality
Surah shura Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah shura Bandar Balila
Bandar Balila
Surah shura Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah shura Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah shura Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah shura Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah shura Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah shura Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah shura Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah shura Fares Abbad
Fares Abbad
Surah shura Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah shura Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah shura Al Hosary
Al Hosary
Surah shura Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah shura Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, August 7, 2025

Please remember us in your sincere prayers