Surah Anbiya aya 60 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا سَمِعْنَا فَتًى يَذْكُرُهُمْ يُقَالُ لَهُ إِبْرَاهِيمُ﴾
[ الأنبياء: 60]
Wakasema: Tumemsikia kijana mmoja akiwataja. Anaitwa Ibrahim.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They said, "We heard a young man mention them who is called Abraham."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema: Tumemsikia kijana mmoja akiwataja. Anaitwa Ibrahim.
Wakasema baadhi yao: Tumemsikia kijana mmoja akiitaja kwa kuisubu (kuitukana) ; naye anaitwa Ibrahim.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
- Hakika pamoja na uzito upo wepesi.
- Walipo ingia kwake na wakasema: Salama! Yeye akasema: Hakika sisi tunakuogopeni.
- Hakika wanao ziamini Aya zetu ni hao tu ambao wakikumbushwa hizo, basi wao huanguka kusujudu,
- Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
- Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
- Na wakijitoma kati ya kundi,
- Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na
- Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.
- Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers