Al-Qasas · 2/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qasas
تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ  ۝٢
Tilka Aayaatul Kitaabil mubeen
📖 Kwa Kiswahili
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — Al-Qasas

1طسٓمٓ 
T'A SIN MIM, (T'. S. M.)
2تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ 
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
3نَتۡلُواْ عَلَيۡكَ مِن نَّبَإِ مُوسَىٰ وَفِرۡعَوۡنَ بِٱلۡحَقِّ لِقَوۡمٍ يُؤۡمِنُونَ 
Tunakusomea khabari za Musa na Firauni kwa Haki kwa ajili ya watu wanao amini.
4إِنَّ فِرۡعَوۡنَ عَلَا فِي ٱلۡأَرۡضِ وَجَعَلَ أَهۡلَهَا شِيَعًا يَسۡتَضۡعِفُ طَآئِفَةً مِّنۡهُمۡ يُذَبِّحُ أَبۡنَآءَهُمۡ وَيَسۡتَحۡيِۦ نِسَآءَهُمۡۚ إِنَّهُۥ كَانَ مِنَ ٱلۡمُفۡسِدِينَ 
Hakika Firauni alitakabari katika nchi, na akawagawa wananchi makundi mbali mbali. Akalidhoofisha taifa moja miongoni mwao, akiwachinja watoto wao wanaume na akiwaacha watoto wao wanawake. Hakika yeye alikuwa katika mafisadi.
Al-QasasFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
2Aya

Tafsiri — Al-Qasas 2

Sura Aya 2/88 — Al-Qasas القصص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qasas Sikiliza, Al-Qasas Tafsiri, Al-Qasas mp3, Al-Qasas pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema