Surah Qiyamah aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَوُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ بَاسِرَةٌ﴾
[ القيامة: 24]
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [some] faces, that Day, will be contorted,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
Na nyuso nyengine zitakuwapo zimenuna, zimekunjana mno, zinangojea zitendewe jambo ambalo kwa kitisho chake linavunja uti wa mgongo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
- Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.
- Alisema (Luut'i): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
- Wale watukufu katika kaumu yake wakasema: Hakika sisi tunakuona wewe umo katika upotofu ulio dhaahiri.
- Enyi mlio amini! Msiwafanye rafiki zenu watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia. Hao wamekwisha kata tamaa
- Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii.
- (Wakiwaambia) Assalamu Alaikum! Amani iwe juu yenu, kwa sababu ya mlivyo subiri! Basi ni mema
- Na tukamuandikia katika mbao kila kitu, mawaidha na maelezo ya mambo yote. (Tukamwambia): Basi yashike
- Muombeni Mola wenu Mlezi kwa unyenyekevu na kwa siri. Hakika Yeye hawapendi warukao mipaka.
- Wala usisema kamwe kwa jambo lolote lile: Hakika nitalifanya hilo kesho -
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers