Surah Qiyamah aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَوُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ بَاسِرَةٌ﴾
[ القيامة: 24]
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [some] faces, that Day, will be contorted,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
Na nyuso nyengine zitakuwapo zimenuna, zimekunjana mno, zinangojea zitendewe jambo ambalo kwa kitisho chake linavunja uti wa mgongo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na waonye siku ya majuto itapo katwa amri. Nao wamo katika ghafla, wala hawaamini.
- Na kuvitoa vilivyo kuwa ndani yake, ikawa tupu,
- Na hakika juu yako ipo laana mpaka Siku ya Malipo.
- Tulimuahidi Musa masiku thalathini na tukayatimiza kwa kumi; ikatimia miadi ya Mola wake Mlezi masiku
- Na Ismail, na Al Yasaa, na Yunus, na Lut'. Na wote tuliwafadhilisha juu ya walimwengu
- Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu. Wewe
- Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
- Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.
- Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
- Je! Yule tuliye muahidi ahadi nzuri, tena naye akayapata, ni kama tuliye mstarehesha kwa starehe
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers