Al-Ahqaf · 1/35
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ahqaf
حم ۝١
Haa-Meeeem
📖 Kwa Kiswahili
H'A MIM

🎧 Sikiliza


📜 Aya 1-3 — Al-Ahqaf

1حم
H'A MIM
2تَنزِيلُ الْكِتَابِ مِنَ اللَّهِ الْعَزِيزِ الْحَكِيمِ
Uteremsho wa Kitabu umetoka kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
3مَا خَلَقْنَا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا إِلَّا بِالْحَقِّ وَأَجَلٍ مُّسَمًّى ۚ وَالَّذِينَ كَفَرُوا عَمَّا أُنذِرُوا مُعْرِضُونَ
Hatukuziumba mbingu na ardhi wala yaliyomo baina yake ila kwa haki na kwa muda maalumu. Na walio kufuru wanayapuuza yale wanayo onywa.
Al-AhqafFaharasa ya Qurani
35Aya
MakkaRevelation
1Aya

Tafsiri — Al-Ahqaf 1

Sura Al-Ahqaf Aya 1 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : H'A MIM

Sura Aya 1/35 — Al-Ahqaf الأحقاف (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ahqaf Sikiliza, Al-Ahqaf Tafsiri, Al-Ahqaf mp3, Al-Ahqaf pdf. Aya 1–3. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema