Sura Al-Fil
5 Aya · Makka · Kiswahili
bismillah
ﮍﮎﮏﮐﮑﮒﮓﮔ
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
ﮕﮖﮗﮘﮙﮚ
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
ﮛﮜﮝﮞﮟ
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
ﮠﮡﮢﮣﮤ
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
ﮥﮦﮧﮨ
Akawafanya kama majani yaliyo liwa!

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema