Sura Al-Humaza
PDF —
Built right in your browser — download starts automatically
Sura Al-Humaza pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Al-Humaza pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-Humaza Tafsiri. Al-Humaza (Makka) 9 Aya.
Related
- Al-Humaza TafsiriKiswahili
- Al-Humaza mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Al-Humaza

ﭢﭣﭤﭥﭦ
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
ﭧﭨﭩﭪﭫ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
ﭬﭭﭮﭯﭰ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
ﭱﭲﭳﭴﭵﭶ
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
ﭷﭸﭹﭺﭻ
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
ﭼﭽﭾﭿ
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
ﮀﮁﮂﮃﮄ
Ambao unapanda nyoyoni.
ﮅﮆﮇﮈ
Hakika huo utafungiwa nao
ﮉﮊﮋﮌ
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







