Sura Al-Humaza
9 Aya · Makka · Kiswahili
bismillah
ﭢﭣﭤﭥﭦ
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
ﭧﭨﭩﭪﭫ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
ﭬﭭﭮﭯﭰ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
ﭱﭲﭳﭴﭵﭶ
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
ﭷﭸﭹﭺﭻ
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
ﭼﭽﭾﭿ
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
ﮀﮁﮂﮃﮄ
Ambao unapanda nyoyoni.
ﮅﮆﮇﮈ
Hakika huo utafungiwa nao
ﮉﮊﮋﮌ
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema