Sura Al-Humaza pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Al-Humaza pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-Humaza Tafsiri. Sura Al-Humaza (Makka) 9 Aya.
Related
- Sura Al-Humaza TafsiriKiswahili
- Sura Al-Humaza mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Al-Humaza

ﭢﭣﭤﭥﭦ
104:1
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
ﭧﭨﭩﭪﭫ
104:2
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
ﭬﭭﭮﭯﭰ
104:3
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
ﭱﭲﭳﭴﭵﭶ
104:4
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
ﭷﭸﭹﭺﭻ
104:5
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
ﭼﭽﭾﭿ
104:6
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
ﮀﮁﮂﮃﮄ
104:7
Ambao unapanda nyoyoni.
ﮅﮆﮇﮈ
104:8
Hakika huo utafungiwa nao
ﮉﮊﮋﮌ
104:9
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.
Kurani Tukufu
Wednesday, September 9, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







