Al-'Adiyat · 3/11
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-'Adiyat
فَالْمُغِيرَاتِ صُبْحًا ۝٣
Fal mugheeraati subha
📖 Kwa Kiswahili
Wakishambulia wakati wa asubuhi,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-5 — Al-'Adiyat

1وَالْعَادِيَاتِ ضَبْحًا
Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,
2فَالْمُورِيَاتِ قَدْحًا
Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
3فَالْمُغِيرَاتِ صُبْحًا
Wakishambulia wakati wa asubuhi,
4فَأَثَرْنَ بِهِ نَقْعًا
Huku wakitimua vumbi,
5فَوَسَطْنَ بِهِ جَمْعًا
Na wakijitoma kati ya kundi,
Al-'AdiyatFaharasa ya Qurani
11Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Al-'Adiyat 3

Sura Al-'Adiyat Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakishambulia wakati wa asubuhi,

Sura Aya 3/11 — Al-'Adiyat العاديات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-'Adiyat Sikiliza, Al-'Adiyat Tafsiri, Al-'Adiyat mp3, Al-'Adiyat pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema