PDF —
11 Aya Makka PDF
Built right in your browser — download starts automatically

Sura Al-'Adiyat pdf — Pakua (Kiswahili)

Sura Al-'Adiyat pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-'Adiyat Tafsiri. Al-'Adiyat (Makka) 11 Aya.



11 Aya · Makka · Kiswahili
bismillah
ﮱﯓﯔ
Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,
ﯕﯖﯗ
Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
ﯘﯙﯚ
Wakishambulia wakati wa asubuhi,
ﯛﯜﯝﯞ
Huku wakitimua vumbi,
ﯟﯠﯡﯢ
Na wakijitoma kati ya kundi,
ﭑﭒﭓﭔﭕ
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
ﭖﭗﭘﭙﭚ
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
ﭛﭜﭝﭞﭟ
Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
ﭠﭡﭢﭣﭤﭥﭦﭧﭨ
Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?
ﭩﭪﭫﭬﭭ
Na yakakusanywa yaliomo vifuani?
ﭮﭯﭰﭱﭲﭳ
Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema