Sura Al-Fatiha pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Al-Fatiha pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-Fatiha Tafsiri. Sura Al-Fatiha (Makka) 7 Aya.
Sura Al-Fatiha
Al-Baqara →
Related
- Sura Al-Fatiha TafsiriKiswahili
- Sura Al-Fatiha mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Al-Fatiha
ﭑﭒﭓﭔﭕ
1:1
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
ﭖﭗﭘﭙﭚ
1:2
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
ﭛﭜﭝ
1:3
Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
ﭞﭟﭠﭡ
1:4
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
ﭢﭣﭤﭥﭦ
1:5
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
ﭧﭨﭩﭪ
1:6
Tuongoe njia iliyo nyooka,
ﭫﭬﭭﭮﭯﭰﭱﭲﭳﭴ
1:7
Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
Kurani Tukufu
Wednesday, September 9, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







