Ibrahim · 52/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ibrahim
هَٰذَا بَلَاغٌ لِّلنَّاسِ وَلِيُنذَرُوا بِهِ وَلِيَعْلَمُوا أَنَّمَا هُوَ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ وَلِيَذَّكَّرَ أُولُو الْأَلْبَابِ ۝٥٢
Haaza balaaghul linnaasi wa liyunzaroo bihee wa liya`lamooo annamaa Huwa Illaahunw Waahidunw wa liyaz zakkara ulul albaab
📖 Kwa Kiswahili
Hili ni Tangazo liwafikie watu, liwaonye, na wapate kujua kuwa hakika Yeye ni Mungu Mmoja, na wapate kukumbuka wenye akili.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 50-52 — Ibrahim

50سَرَابِيلُهُم مِّن قَطِرَانٍ وَتَغْشَىٰ وُجُوهَهُمُ النَّارُ
Nguo zao zitakuwa za lami, na Moto utazigubika nyuso zao.
51لِيَجْزِيَ اللَّهُ كُلَّ نَفْسٍ مَّا كَسَبَتْ ۚ إِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ
Ili Mwenyezi Mungu ailipe kila nafsi kwa yale iliyo yachuma. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
52هَٰذَا بَلَاغٌ لِّلنَّاسِ وَلِيُنذَرُوا بِهِ وَلِيَعْلَمُوا أَنَّمَا هُوَ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ وَلِيَذَّكَّرَ أُولُو الْأَلْبَابِ
Hili ni Tangazo liwafikie watu, liwaonye, na wapate kujua kuwa hakika Yeye ni Mungu Mmoja, na wapate kukumbuka wenye akili.
IbrahimFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
52Aya

Tafsiri — Ibrahim 52

Sura Ibrahim Aya 52 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hili ni Tangazo liwafikie watu, liwaonye, na wapate kujua kuwa…

Sura Aya 52/52 — Ibrahim إبراهيم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ibrahim Sikiliza, Ibrahim Tafsiri, Ibrahim mp3, Ibrahim pdf. Aya 50–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema