Fussilat · 2/54
Tafsiri Uandishi wa sauti — Fussilat
تَنزِيلٌ مِّنَ ٱلرَّحۡمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ  ۝٢
Tanzeelum Minar-Rahmaanir-Raheem
📖 Kwa Kiswahili
Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — Fussilat

1حمٓ 
H'a Mim
2تَنزِيلٌ مِّنَ ٱلرَّحۡمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ 
Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
3كِتَٰبٌ فُصِّلَتۡ ءَايَٰتُهُۥ قُرۡءَانًا عَرَبِيًّا لِّقَوۡمٍ يَعۡلَمُونَ 
Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa watu wanao jua.
4بَشِيرًا وَنَذِيرًا فَأَعۡرَضَ أَكۡثَرُهُمۡ فَهُمۡ لَا يَسۡمَعُونَ 
Kitoacho khabari njema, na chenye kuonya. Lakini wengi katika wao wamepuuza; kwa hivyo hawasikii.
FussilatFaharasa ya Qurani
54Aya
MakkaRevelation
2Aya

Tafsiri — Fussilat 2

Sura Aya 2/54 — Fussilat فصلت (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Fussilat Sikiliza, Fussilat Tafsiri, Fussilat mp3, Fussilat pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema