Al-Qalam · 41/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِن كَانُوا صَادِقِينَ ۝٤١
Am lahum shurakaaa`u falyaatoo bishurakaaa `ihim in kaanoo saadiqeen
📖 Kwa Kiswahili
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 39-43 — Al-Qalam

39أَمْ لَكُمْ أَيْمَانٌ عَلَيْنَا بَالِغَةٌ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۙ إِنَّ لَكُمْ لَمَا تَحْكُمُونَ
Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia?
40سَلْهُمْ أَيُّهُم بِذَٰلِكَ زَعِيمٌ
Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?
41أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِن كَانُوا صَادِقِينَ
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
42يَوْمَ يُكْشَفُ عَن سَاقٍ وَيُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ
Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
43خَاشِعَةً أَبْصَارُهُمْ تَرْهَقُهُمْ ذِلَّةٌ ۖ وَقَدْ كَانُوا يُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ وَهُمْ سَالِمُونَ
Macho yao yatainama chini, fedheha itawafunika. Na hakika walikuwa wakiitwa wasujudu walipo kuwa wazima -
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
41Aya

Tafsiri — Al-Qalam 41

Sura Al-Qalam Aya 41 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.

Sura Aya 41/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 39–43. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema