Al-Qalam · 42/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
يَوْمَ يُكْشَفُ عَن سَاقٍ وَيُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ ۝٤٢
Yawma yukshafu `am saaqinw wa yud`awna ilas sujoodi falaa yastatee`oon
📖 Kwa Kiswahili
Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 40-44 — Al-Qalam

40سَلْهُمْ أَيُّهُم بِذَٰلِكَ زَعِيمٌ
Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?
41أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِن كَانُوا صَادِقِينَ
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
42يَوْمَ يُكْشَفُ عَن سَاقٍ وَيُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ
Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
43خَاشِعَةً أَبْصَارُهُمْ تَرْهَقُهُمْ ذِلَّةٌ ۖ وَقَدْ كَانُوا يُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ وَهُمْ سَالِمُونَ
Macho yao yatainama chini, fedheha itawafunika. Na hakika walikuwa wakiitwa wasujudu walipo kuwa wazima -
44فَذَرْنِي وَمَن يُكَذِّبُ بِهَٰذَا الْحَدِيثِ ۖ سَنَسْتَدْرِجُهُم مِّنْ حَيْثُ لَا يَعْلَمُونَ
Basi niache na wanao kadhibisha maneno haya! Tutawavutia kidogo kidogo kwa mahali wasipo pajua.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
42Aya

Tafsiri — Al-Qalam 42

Sura Al-Qalam Aya 42 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,

Sura Aya 42/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 40–44. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema