Al-Qalam · 40/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
سَلْهُمْ أَيُّهُم بِذَٰلِكَ زَعِيمٌ ۝٤٠
Salhum ayyuhum bizaa lika za`eem
📖 Kwa Kiswahili
Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 38-42 — Al-Qalam

38إِنَّ لَكُمْ فِيهِ لَمَا تَخَيَّرُونَ
Kuwa mtapata humo mnayo yapenda?
39أَمْ لَكُمْ أَيْمَانٌ عَلَيْنَا بَالِغَةٌ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۙ إِنَّ لَكُمْ لَمَا تَحْكُمُونَ
Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia?
40سَلْهُمْ أَيُّهُم بِذَٰلِكَ زَعِيمٌ
Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?
41أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ فَلْيَأْتُوا بِشُرَكَائِهِمْ إِن كَانُوا صَادِقِينَ
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
42يَوْمَ يُكْشَفُ عَن سَاقٍ وَيُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ
Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
40Aya

Tafsiri — Al-Qalam 40

Sura Al-Qalam Aya 40 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?

Sura Aya 40/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 38–42. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema