Al-Insan · 24/31
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Insan
فَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ وَلَا تُطِعْ مِنْهُمْ آثِمًا أَوْ كَفُورًا ۝٢٤
Fasbir lihukmi Rabbika wa laa tuti` minhum aasiman aw kafooraa
📖 Kwa Kiswahili
Basi ngojea hukumu ya Mola wako Mlezi wala usimt'ii miongoni mwao mwenye dhambi au mwenye kufuru.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 22-26 — Al-Insan

22إِنَّ هَٰذَا كَانَ لَكُمْ جَزَاءً وَكَانَ سَعْيُكُم مَّشْكُورًا
Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.
23إِنَّا نَحْنُ نَزَّلْنَا عَلَيْكَ الْقُرْآنَ تَنزِيلًا
Hakika Sisi tumekuteremshia Qur'ani kidogo kidogo.
24فَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ وَلَا تُطِعْ مِنْهُمْ آثِمًا أَوْ كَفُورًا
Basi ngojea hukumu ya Mola wako Mlezi wala usimt'ii miongoni mwao mwenye dhambi au mwenye kufuru.
25وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ بُكْرَةً وَأَصِيلًا
Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni;
26وَمِنَ اللَّيْلِ فَاسْجُدْ لَهُ وَسَبِّحْهُ لَيْلًا طَوِيلًا
Na usiku msujudie Yeye, na umtakase usiku, wakati mrefu.
Al-InsanFaharasa ya Qurani
31Aya
MadinaRevelation
24Aya

Tafsiri — Al-Insan 24

Sura Al-Insan Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ngojea hukumu ya Mola wako Mlezi wala usimt'ii miongoni…

Sura Aya 24/31 — Al-Insan الإنسان (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Insan Sikiliza, Al-Insan Tafsiri, Al-Insan mp3, Al-Insan pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema