Abasa · 13/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
فِي صُحُفٍ مُّكَرَّمَةٍ ۝١٣
Fi suhufim mukar rama
📖 Kwa Kiswahili
Yamo katika kurasa zilizo hishimiwa,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — Abasa

11كَلَّا إِنَّهَا تَذْكِرَةٌ
Sivyo hivyo! Huku ni kukumbushana.
12فَمَن شَاءَ ذَكَرَهُ
Basi anaye penda akumbuke.
13فِي صُحُفٍ مُّكَرَّمَةٍ
Yamo katika kurasa zilizo hishimiwa,
14مَّرْفُوعَةٍ مُّطَهَّرَةٍ
Zilizo inuliwa, zilizo takaswa.
15بِأَيْدِي سَفَرَةٍ
Zimo mikononi mwa Malaika waandishi,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Abasa 13

Sura Abasa Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Yamo katika kurasa zilizo hishimiwa,

Sura Aya 13/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema