Abasa · 12/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
فَمَن شَاءَ ذَكَرَهُ ۝١٢
Faman shaa a zakarah
📖 Kwa Kiswahili
Basi anaye penda akumbuke.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 10-14 — Abasa

10فَأَنتَ عَنْهُ تَلَهَّىٰ
Ndio wewe unampuuza?
11كَلَّا إِنَّهَا تَذْكِرَةٌ
Sivyo hivyo! Huku ni kukumbushana.
12فَمَن شَاءَ ذَكَرَهُ
Basi anaye penda akumbuke.
13فِي صُحُفٍ مُّكَرَّمَةٍ
Yamo katika kurasa zilizo hishimiwa,
14مَّرْفُوعَةٍ مُّطَهَّرَةٍ
Zilizo inuliwa, zilizo takaswa.
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Abasa 12

Sura Abasa Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi anaye penda akumbuke.

Sura Aya 12/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema