Al-Bayyina · 1/8
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Bayyina
لَمْ يَكُنِ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ مُنفَكِّينَ حَتَّىٰ تَأْتِيَهُمُ الْبَيِّنَةُ ۝١
Lam ya kunil lazeena kafaru min ahlil kitaabi wal mushri keena mun fak keena hattaa ta-tiya humul bayyinah
📖 Kwa Kiswahili
Hawakuwa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina waache walio nayo mpaka iwajie bayana,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-3 — Al-Bayyina

1لَمْ يَكُنِ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ مُنفَكِّينَ حَتَّىٰ تَأْتِيَهُمُ الْبَيِّنَةُ
Hawakuwa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina waache walio nayo mpaka iwajie bayana,
2رَسُولٌ مِّنَ اللَّهِ يَتْلُو صُحُفًا مُّطَهَّرَةً
Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,
3فِيهَا كُتُبٌ قَيِّمَةٌ
Ndani yake mna maandiko yaliyo nyooka.
Al-BayyinaFaharasa ya Qurani
8Aya
MadinaRevelation
1Aya

Tafsiri — Al-Bayyina 1

Sura Al-Bayyina Aya 1 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hawakuwa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina…

Sura Aya 1/8 — Al-Bayyina البينة (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Bayyina Sikiliza, Al-Bayyina Tafsiri, Al-Bayyina mp3, Al-Bayyina pdf. Aya 1–3. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema