Al-Bayyina · 2/8
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Bayyina
رَسُولٌ مِّنَ اللَّهِ يَتْلُو صُحُفًا مُّطَهَّرَةً ۝٢
Rasoolum minal laahi yatlu suhufam mutahharah
📖 Kwa Kiswahili
Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — Al-Bayyina

1لَمْ يَكُنِ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ مُنفَكِّينَ حَتَّىٰ تَأْتِيَهُمُ الْبَيِّنَةُ
Hawakuwa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina waache walio nayo mpaka iwajie bayana,
2رَسُولٌ مِّنَ اللَّهِ يَتْلُو صُحُفًا مُّطَهَّرَةً
Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,
3فِيهَا كُتُبٌ قَيِّمَةٌ
Ndani yake mna maandiko yaliyo nyooka.
4وَمَا تَفَرَّقَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَتْهُمُ الْبَيِّنَةُ
Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
Al-BayyinaFaharasa ya Qurani
8Aya
MadinaRevelation
2Aya

Tafsiri — Al-Bayyina 2

Sura Al-Bayyina Aya 2 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa…

Sura Aya 2/8 — Al-Bayyina البينة (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Bayyina Sikiliza, Al-Bayyina Tafsiri, Al-Bayyina mp3, Al-Bayyina pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema