Taha · 24/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
اذْهَبْ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ ۝٢٤
Izhab ilaa Fir`awna innahoo taghaa
📖 Kwa Kiswahili
Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 22-26 — Taha

22وَاضْمُمْ يَدَكَ إِلَىٰ جَنَاحِكَ تَخْرُجْ بَيْضَاءَ مِنْ غَيْرِ سُوءٍ آيَةً أُخْرَىٰ
Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. Utatoka mweupe pasipo kuwa na madhara yoyote. Hiyo ni ishara nyengine.
23لِنُرِيَكَ مِنْ آيَاتِنَا الْكُبْرَى
Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
24اذْهَبْ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ
Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.
25قَالَ رَبِّ اشْرَحْ لِي صَدْرِي
(Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,
26وَيَسِّرْ لِي أَمْرِي
Na unifanyie nyepesi kazi yangu,
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — Taha 24

Sura Taha Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.

Sura Aya 24/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema