Taha · 25/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
قَالَ رَبِّ اشْرَحْ لِي صَدْرِي ۝٢٥
Qaala Rabbish rah lee sadree
📖 Kwa Kiswahili
(Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 23-27 — Taha

23لِنُرِيَكَ مِنْ آيَاتِنَا الْكُبْرَى
Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
24اذْهَبْ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ
Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.
25قَالَ رَبِّ اشْرَحْ لِي صَدْرِي
(Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,
26وَيَسِّرْ لِي أَمْرِي
Na unifanyie nyepesi kazi yangu,
27وَاحْلُلْ عُقْدَةً مِّن لِّسَانِي
Na ulifungue fundo lililo katika ulimi wangu,
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Taha 25

Sura Taha Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : (Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,

Sura Aya 25/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema