Taha · 23/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
لِنُرِيَكَ مِنْ آيَاتِنَا الْكُبْرَى ۝٢٣
Linuriyaka min Aayaatinal Kubra
📖 Kwa Kiswahili
Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 21-25 — Taha

21قَالَ خُذْهَا وَلَا تَخَفْ ۖ سَنُعِيدُهَا سِيرَتَهَا الْأُولَىٰ
Akasema: Ikamate, wala usiogope! Tutairudisha hali yake ya kwanza.
22وَاضْمُمْ يَدَكَ إِلَىٰ جَنَاحِكَ تَخْرُجْ بَيْضَاءَ مِنْ غَيْرِ سُوءٍ آيَةً أُخْرَىٰ
Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. Utatoka mweupe pasipo kuwa na madhara yoyote. Hiyo ni ishara nyengine.
23لِنُرِيَكَ مِنْ آيَاتِنَا الْكُبْرَى
Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
24اذْهَبْ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ
Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.
25قَالَ رَبِّ اشْرَحْ لِي صَدْرِي
(Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — Taha 23

Sura Taha Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.

Sura Aya 23/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema