An-Naml · 1/93
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naml
طس ۚ تِلْكَ آيَاتُ الْقُرْآنِ وَكِتَابٍ مُّبِينٍ ۝١
Taa-Seeen; tilka Aayaatul Qur-aani wa Kitaabim Mubeen
📖 Kwa Kiswahili
T'aa Siin. (T'. S.), Hizi ni Aya za Qur'ani na Kitabu kinacho bainisha;
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-3 — An-Naml

1طس ۚ تِلْكَ آيَاتُ الْقُرْآنِ وَكِتَابٍ مُّبِينٍ
T'aa Siin. (T'. S.), Hizi ni Aya za Qur'ani na Kitabu kinacho bainisha;
2هُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ
Uwongofu na bishara kwa Waumini,
3الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلَاةَ وَيُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَهُم بِالْآخِرَةِ هُمْ يُوقِنُونَ
Ambao wanashika Sala, na wanatoa Zaka, na Akhera wana yakini nayo.
An-NamlFaharasa ya Qurani
93Aya
MakkaRevelation
1Aya

Tafsiri — An-Naml 1

Sura An-Naml Aya 1 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : T'aa Siin. (T'. S.), Hizi ni Aya za Qur'ani na…

Sura Aya 1/93 — An-Naml النمل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naml Sikiliza, An-Naml Tafsiri, An-Naml mp3, An-Naml pdf. Aya 1–3. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema