An-Naml · 2/93
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naml
هُدًى وَبُشۡرَىٰ لِلۡمُؤۡمِنِينَ  ۝٢
Hudanw wa bushraa lil mu`mineen
📖 Kwa Kiswahili
Uwongofu na bishara kwa Waumini,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — An-Naml

1طسٓۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡقُرۡءَانِ وَكِتَابٍ مُّبِينٍ 
T'aa Siin. (T'. S.), Hizi ni Aya za Qur'ani na Kitabu kinacho bainisha;
2هُدًى وَبُشۡرَىٰ لِلۡمُؤۡمِنِينَ 
Uwongofu na bishara kwa Waumini,
3ٱلَّذِينَ يُقِيمُونَ ٱلصَّلَوٰةَ وَيُؤۡتُونَ ٱلزَّكَوٰةَ وَهُم بِٱلۡأٓخِرَةِ هُمۡ يُوقِنُونَ 
Ambao wanashika Sala, na wanatoa Zaka, na Akhera wana yakini nayo.
4إِنَّ ٱلَّذِينَ لَا يُؤۡمِنُونَ بِٱلۡأٓخِرَةِ زَيَّنَّا لَهُمۡ أَعۡمَٰلَهُمۡ فَهُمۡ يَعۡمَهُونَ 
Kwa hakika wale wasio iamini Akhera tumewapambia vitendo vyao, kwa hivyo wanatangatanga ovyo.
An-NamlFaharasa ya Qurani
93Aya
MakkaRevelation
2Aya

Tafsiri — An-Naml 2

Sura Aya 2/93 — An-Naml النمل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naml Sikiliza, An-Naml Tafsiri, An-Naml mp3, An-Naml pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema