Al-Haqqa · 51/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَإِنَّهُ لَحَقُّ الْيَقِينِ ۝٥١
Wa innahoo lahaqqul yaqeen
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 49-52 — Al-Haqqa

49وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنكُم مُّكَذِّبِينَ
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
50وَإِنَّهُ لَحَسْرَةٌ عَلَى الْكَافِرِينَ
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
51وَإِنَّهُ لَحَقُّ الْيَقِينِ
Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
52فَسَبِّحْ بِاسْمِ رَبِّكَ الْعَظِيمِ
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi Mtukufu.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
51Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 51

Sura Al-Haqqa Aya 51 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.

Sura Aya 51/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 49–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema