Al-Haqqa · 50/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَإِنَّهُ لَحَسْرَةٌ عَلَى الْكَافِرِينَ ۝٥٠
Wa innahu lahasratun `alal kaafireen
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 48-52 — Al-Haqqa

48وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِّلْمُتَّقِينَ
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
49وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنكُم مُّكَذِّبِينَ
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
50وَإِنَّهُ لَحَسْرَةٌ عَلَى الْكَافِرِينَ
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
51وَإِنَّهُ لَحَقُّ الْيَقِينِ
Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
52فَسَبِّحْ بِاسْمِ رَبِّكَ الْعَظِيمِ
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi Mtukufu.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
50Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 50

Sura Al-Haqqa Aya 50 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao…

Sura Aya 50/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 48–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema